Cristiano Ronaldo wa Juventus akionyesha jezi aliyozawadiwa kabla ya mchezo wa Serie A na Cagliari jana Uwanja wa Allianz mjini Torino jana kwa kufikisha mechi 400 za klabu kwenye tano kubwa Ulaya. Juventus ilishinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Paulo Dybala dakika ya kwanza, Filip Bradaric aliyejifunga dakika ya 38 na Juan Cuadrado dakika ya 87, wakati la Cagliari lilifungwa na Joao Pedro dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jake Paul's jaw is broken in Anthony Joshua battering:
YouTuber-turned-boxer rushes to hospital
-
Jake Paul drove himself to hospital with a suspected broken jaw after his
knockout defeat by Anthony Joshua.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment