Leroy Sane (kulia) akishangilia na Raheem Sterling baada ya wote kuifungia Manchester City katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, West Ham United leo Uwanja wa London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Sane alifunga mabao mawili dakika za 34 na 94 na ushie na Sterling dakika ya 19, wakati bao lingine limefungwa na David Silva dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham hierarchy 'throw their backing behind Thomas Frank' after dire
display against Nottingham Forest
-
The visitors were well off the standard needed to overcome their hosts at
the City Ground, after initially falling behind due to a calamitous mistake
by yo...
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment