Wachezaji wa Ureno, Rui Patricio na Jose Fonte wakishangilia baada ya sare ya 0-0 na Italia kwenye mchezo wa kundi la tatu Ligi ya Mataifa Ulaya ambao ilimkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo usiku wa jana uwanja wa Giuseppe Meazza mjini Milan, hivyo kufuzu nusu fainali ya michuano hiyo, ikifikisha pointi saba baada ya kucheza mechi tatu, ikifuatiwa na Italia pointi tano na Poland pointi moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham hierarchy 'throw their backing behind Thomas Frank' after dire
display against Nottingham Forest
-
The visitors were well off the standard needed to overcome their hosts at
the City Ground, after initially falling behind due to a calamitous mistake
by yo...
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment