Wachezaji wa Real Madrid wakishangilia ushindi wa wa 4-0 dhidi ya Melilla kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme jana Uwanja wa Alvarez Claro mjini Melilla. Mabao ya Real iliyocheza mechi ya kwanza jana chini ya kocha wa muda, Santiago Solari wa timu B baada ya kufukuzwa kwa Julen Lopetegui yalifungwa na Karim Benzema dakika ya 28, Marco Asensio dakika ya 45 na ushei, Álvaro Odriozola dakika ya 7p na Cristo Gonzalez dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
OLIVER HOLT: Alex Carey's cynical opportunism may just have cost England
the Ashes - will he get the same reception Stuart Broad did for not
walking? Yeah, right
-
Alex Carey has become a quite exceptional player. If it weren't for
Mitchell Starc, he could be the player of the series. For all that, he
discovered what ...
33 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment