Kinda Mspaniola, Brahim Diaz akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao yote dakika za 18 na 65 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England hatua ya 16 Bora usiku wa jana Uwanja wa Etihad na sasa kikosi cha Pep Guardiola kitakutana na mshindi kati ya Leicester City na Southampton katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Twins change lead owner from one Pohlad to another, as 3 new investor
groups become limited partners
-
MINNEAPOLIS (AP) — Minnesota Twins ownership has finalized the purchase of
portions of the franchise by three different investors, limited
partnerships the...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment