Wachezaji wa Barcelona wakimrusha juu mkongwe, Andres Iniesta Lujan katika sherehe za kumuaga jana baada ya mechi ya La Liga dhidi ya Real Sociedad Uwanja wa Camp Nou wakishinda 1-0. Iniesta mwenye umri wa miaka 34 sasa anaondoka Barca baada ya miaka 22 tangu ajiunge nayo mwaka 1996 akiwa kijana mdogo akianzia akademi la La Masia kabla ya kupandishwa kikosi cha kwanza mwaka 2002 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Booming new sport backed by Andy Murray and Rafael Nadal receives huge
boost in its bid to become an Olympic sport
-
The sport has been given a major boost in its attempts to become an Olympic
sport following the addition of a team-based competition backed by Andy
Murray ...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment