Mshambuliaji wa Azam FC, Iddi Kipagwile akiwachambua wachezaji wa Yanga kabla ya kupiga mpira jana katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 3-1
Beki wa Yanga SC, Gardiel Michael akimkwatua mshambuliaji wa Azam FC, Iddi kipagwile
Mshambuliaji wa Azam FC, Yahya Zaid akimtoka kiungo wa ulinzi wa Yanga, Maka Edward
Kiungo wa Azam FC, Frank Domayo akimuacha chini mshambuliaji wa Yanga, Mzambuia Obrey Chirwa
Kiungo wa Yanga, Mkongo Papy Kabamba Tshishimbi akiondoka na mpira katikati ya wachezaji wa Azam FC
Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony
Kiungo wa Yanga, Pius Buswita akiupigia hesabu mpira mbele ya wachezaji wa Azam FC
Mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony (kushoto) akimtoka beki wa Azam FC, Bruce Kangwa
Kikosi cha Azam FC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Yanga SC kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
22 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment