Mashabiki wa Yanga wakifuatilia kwa huzuni mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana dhidi ya Azam FC, timu yao ikichapwa 3-1 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Hawa jamaa ndiyo hoi kabisa wakiishuhudia timu yao ikilambwa 3-1
Hapa kuna viongozi na wapenzi wa Azam FC wakifuatilia kwa furaha mchezo wa jana
Akina dada hawa ni sehemu ya mashabiki waliojitokeza uwanjani jana
Wengine hawa nao wakifuatilia mchezo jana kwa raha zao
A 'novice' who can 'punch a bit' - how good is Paul?
-
BBC Sport takes a look inside Jake Paul’s camp and assesses his boxing
ability before Friday's fight with Anthony Joshua in Miami.
16 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment