Nyota wa Manchester City, Bernando Silva wa Ureno akikabiliana na mchezaji wa Tunisia wakati wa mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Munispaa ya Braga kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia mwezi ujao nchini Urusi timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Ureno walitangulia kwa mabao ya Andre Silva dakika ya 22 na Joao Mario dakika ya 34, kabla ya Tunisia kusawazisha kupitia kwa Anice Badri dakika ya 39 na Fakhreddine Ben Youssef dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment