Mshambuliaji Mfaransa, Alexandre Lacazette akinyoosha vidole juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Arsenal dakika za 85 na 89 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya West Ham United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Nacho Monreal dakika ya 51 na Aaron Ramsey dakika ya 82, wakati la West Ham limefungwa na Marko Arnautovic dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment