Emre Can akiruka juu kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 26 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town Uwanja wa The John Smith mjini Huddersfield, West Yorkshire kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Wekundu hao, yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya 45 na Mohamed Salah dakika ya 78 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Russia is a threat to the UK and our sons and daughters must be ready to
fight, armed forces chief warns
-
Chief of defence staff Richard Knighton warned the situation is ‘more
dangerous than I have known during my career’
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment