Mshambuliaji Mbelgiji wa Chelsea, Michy Batshuayi akinyoosha vidole juu kushangilia baada ya kuifungia The Blues mabao mawili dakika za 31 na 44 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Marcos Alonso dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Lineker's podcast company 'is set to make £14million in Netflix World
Cup deal'
-
Goalhanger, founded by the former England forward, has agreed an
eight-figure deal with the American streaming giant to film The Rest Is
Football podcast -...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment