Kelechi Iheanacho akishangilia baada ya kutokea benchi kuchukua nafasi ya Sergio Aguero usiku wa jana na kuifungia Manchester City bao la tano dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Huddersfield kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la FA usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya City yalifungwa na Leroy Sane dakika ya 30, Sergio Aguero kwa penalti dakika ya 35 na dakika ya 73 na Pablo Zabaleta dakika ya 38, wakati la Huddersfield lilifungwa na Harry Bunn dakika ya saba na City sasa itakutana na Middlesbrough kwenye Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
OLIVER HOLT: Alex Carey's cynical opportunism may just have cost England
the Ashes - will he get the same reception Stuart Broad did for not
walking? Yeah, right
-
Alex Carey has become a quite exceptional player. If it weren't for
Mitchell Starc, he could be the player of the series. For all that, he
discovered what ...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment