Nahodha wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta akimtoka beki, Mohammed Hussein 'Tshabalala' katika mazoezi ya timu hiyo leo jioni Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na michezo ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Botswana na Burundi Jumamosi na Jumanne
Kiungo Frank Domayo hapa akimiliki mpira mbele ya Nahodha Mbwana Samatta
Mbwana Samatta akiambaa na mpira pembeni ya Frank Domayo
Mbwana Samatta akizungumza na winga wa Taifa Stars, Simon Msuva
Wachezaji wa Taifa Stars wakikimbia katika mazoezi ya leo
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
20 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment