Beki Leonardo Bonucci akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Italia dakika ya 32 ikiwalaza 2-1 wenyeji Uholanzi katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Amsterdam Arena jana. Alessio Romagnoli alijifunga dakika ya 10 kuwapatia Uholanzi bao la kuongoza, lakini Eder Martins akaisawazishia Italia dakika moja baadaye PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Excruciating moment rapper Ja Rule smashes golf ball straight into crowd at
Derek Jeter's charity tournament
-
Remarkable footage, captured from just meters away, shows Ja Rule teeing
off with people surrounding the tee box in the Bahamas.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment