Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ureno dakika za 36 na 65 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Hungary usiku wa jana Uwanja wa Sport Lisboa e Benfica, da Luz kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia Kundi. Bao lingine la Ureno lilifungwa na Andre Silva dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two Bayern stars: the top ever-presents in world football
-
These gentlemen cannot complain about a lack of playing time. The CIES
Football Observatory recently examined the ever-present players in world
football ov...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment