Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 11 katika ushindi wa 8-0 dhidi ya Deportivo La Coruna kwenye mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Manispaa ya Riazor, La Coruna. Suarez alifunga mabao manne, mengine dakika za 24, 53 na 64, wakati mabao mengine yamefungwa na Ivan Rakitic dakika ya 47, Lionel Messi dakika ya 73, Marc Bartra dakika ya 79 na Neymar Junior dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bombshell new documentary lifts the lid on Jordon Hudson's age-gap romance
with Bill Belichick... from PR disasters to leaked phone calls
-
The romance, between a 24-year-old former cheerleader and the NFL's
greatest ever coach, has been the subject of explosive reports throughout
his tenure wi...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment