Dujon Sterling akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu ya vijana chini ya umri wa miaka 18 ya Chelsea bao la kwanza katika ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa marudiano wa fainali ya Kombe la England kwa vijana wa umri huo dhidi ya Manchester City Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Tammy Abraham na Fikayo Tomori huku bao pekee la Man City likifungwa na Brahim Abdelkader Diaz, hivyo makinda hayo ya The Blues kutwaa tena ubingwa wa U-18 wa FA kwa ushindi wa jumla wa 4-2 baada ya awali kutoa sare ya 1-1 mjini Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: Harry Brook makes a costly error, Australia star goes for
more than £2m as record IPL signing and worst shot of the series
-
OLIVER HOLT IN ADELAIDE: England appear to be heading towards their second
best day of the Ashes so far. Australia suffered a blow before the start of
play.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment