Mshambuliaji wa Paris Saint Germain, Zlatan Ibrahimovic (katikati) akiondoka kibabe baada ya kuifungia timu yake mabao matatu katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Nice katika Ligue 1 ya Ufaransa Jumamosi Uwanja wa Parc des Princes. Bao lingine la PSG limefungwa na David Luiz made wakati la Nice limefungwa na Hatem Ben Arfa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis glamour girl Genie Bouchard sets pulses racing with stunning
vacation snaps after retiring at age 31
-
At the end of the trip, Bouchard posted a series of stunning snaps, proving
that despite not being at the top level of tennis any more, she is still
workin...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment