
WENYEJI, Kagera Sugar wamefikisha mechi nne bila ushindi katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya leo kuokota pointi ya kwanza kufuatia sare ya bila mabao na JKT Tanzania Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
Mechi tafu za mwanzo Kagera Sugar ilifungwa 1-0 na Singida Black Stars, 2-0 na Yanga na 1-0 na Tabora United, wakati JKT Tanzania nayo imetoa sare ya pili mfululizo leo katika mechi zake mbili hadi sasa kufuatia sare ya 0-0 na Azam katika mchezo wa kwanza.
Smith drop an early blow in tale of two Ashes keepers
-
Why wicketkeeper Jamie Smith's drop on day two of second Ashes Test is
potentially worrying for England.
46 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment