RAIS wa Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Klabu Afrika (ACA) Hersi Ally Said akimkabidhi jezi ya klabu hiyo Waziri wa Michezo wa Ivory Coast, Adjé Silas baada ya kukutana Jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo juu ya masuala mbalimbali ya maendeleo.
GONGA KUTAZAMA PICHA ZAIDI
0 comments:
Post a Comment