WENYEJI, KMC wamelazimishwa sare ya 0-0 na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Kwa sare hiyo kila timu inafikisha pointi 15 katika mchezo wa 14, KMC ikibaki nafasi ya 10 na Prisons nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi ya timu 16, ambayo mwisho wa msimu mbili zitashuka.
Chicago Bears fans turn on Caleb Williams for enjoying night out at hockey
game after NFL playoff loss
-
Williams and Ben Johnson's Bears were dumped out of playoff contention by
the Los Angeles Rams in a 20-17 overtime thriller at Soldier Field.
43 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment