KLABU ya Simba imeachana na kocha wake, Mspaniola Pablo Franco Martin baada ya makubaliano ya pande zote MBILI na kuelekea mechi zilizobaki kumalizia msimu wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara timu itakuwa chini ya kocha Msaidizi, Suleiman Matola.Pamoja na Pablo aliyejiunga na timu hiyo Novemba mwaka jana, Simba pia imeachana na kocha wa mazoezi ya viungo Daniel De Castro Reyes ambaye pia ni Mspaniola.
Saved by 'special talent' - but did penalty award wrong Brighton?
-
Charalampos Kostoulas earned Brighton a point with a stunning overhead kick
but were the Seagulls right to be angry over an earlier penalty award?
1 hour ago




.png)
0 comments:
Post a Comment