Promota Eddie Hearn amesema pambano la ngumi za kulipwa la uzito wa juu kati ya Dillian Whyte (kushoto) na Alexander Povetkin (kulia) litafanyika bila watazamaji ukumbi wa Manchester Arena, England mwishoni mwa Julai au mwanzoni mwa Agosti kutokana na hofu ya maambukizi ya virusi vya corona kipindi hiki misongamano ya watu imezuiwa duniani kote sababu ya mlipuko wa virusi hivyo vinavyosababisha ugonjwa hatari wa COVID 19
Dembele wins Fifa Best men's player of the year
-
Paris St-Germain and France forward Ousmane Dembele has been named the
men's player of the year at the Fifa Best awards.
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment