Joshua Kimmich akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao pekee dakika ya 43 ikiwalaza wenyeji, Borussia Dortmund 1-0 kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Signal-Iduna-Park Jijini Dortmund jana. Ushindi huo unawafanya Bayern Munich waongoze Bundesliga kwa pointi saba zaidi ya Dortmund zikiwa zimesala mechi sita hivyo kukaribia kutwaa taji la nane mfululizo la ligi hiyo
Former Arsenal and Wales star Aaron Ramsey reveals Mexican club terminated
HIS contract after mysterious disappearance of his beloved pet dog
-
The former Arsenal and Juventus midfielder, now 34, swapped the
Championship for Liga MX last summer in a move which was met by much
fanfare in the Latin c...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment