Beki Antonio Rudiger akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea mabao yote mawili dakika za 46 na 71 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Leicester City, ambayo mabao yake yamefungwa na Harvey Barnes dakika ya 54 na Ben Chilwell dakika ya 64 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lyon puts Australia on brink of Ashes win
-
England are on the brink of an Ashes series defeat after Australia's Nathan
Lyon broke their resistance late on the fourth day of the third Test in
Adelaide.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment