Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 56 ikiwalaza mahasimu, Atletico Madrid 1-0 katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Kwa ushindi huo, Real inafikisha point 49 katika mchezo wa 22 na kuendelea kuongoza La Liga, sasa ikiwazidi pointi sita mabingwa watetezi, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua vs. Jake Paul key takeaways: Paul finally gets what’s coming
to him — are we happy now?
-
Jake Paul finally got his comeuppance against Anthony Joshua in a messy
fight that took time to warm up to a full-scale tilt. Here are the five key
takeway...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment