Mshambuliaji wa Liverpool, Sadio Mane akimrukia Sime Vrsaljko wa Atletico Madrid usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano Jijini Madrid kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Atletico Madrid ilishinda 1-0, bao pekee la Saul Niguez dakika ya nne na sasa timu hizo zitarudiana Machi 11 Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man Utd angry as Morocco rejected Mazraoui request
-
Manchester United are angry with the Moroccan FA for rejecting their plea
for Noussair Mazraoui to play in Monday's draw with Bournemouth.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment