Wachezaji wa Borussia Dortmund wakimpongeza mwenzao Erling Haaland baada ya kufunga mabao yote mawili dakika za 69 na 77 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Paris Saint-Germain usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ta Mabingwa Ulaya. Bao pekee la Paris Saint-Germain lilifungwa Neymar dakika ya 75 na sasa timu hizo zitarudana Machi 11 Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment