Sadio Mane akitabasamu baada ya kuifungia bao la ushindi Liverpool dakika ya 81 ikiichapa 3-2 West Ham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Anfield, Liverpool. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Georginio Wijnaldum dakika ya tisa na Mohamed Salah dakika ya 68, wakati ya West Ham United yalifungwa na Issa Diop dakika ya 12 na Pablo Fornals dakika ya 54 na kwa ushindi huo kikosi cha Jurgen Klopp kinafikisha pointi 79 baada ya kucheza mechi 27 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 22 zaidi ya Manchester City inayofuatia nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment