Mfungaji wa mabao matano ya Marekani, Alex Morgan (kushoto) katika ushindi wa 13-0 akimfariji mchezaji wa Thailand, Miranda Nild (kulia) baada ya kipigo hicho kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kundi F Fainali za Kombe la Dunia la Wanawake Uwanja wa Auguste-Delaune II mjini Reims, Ufaransa Jumanne. Mabao mengine ya USA yalifungwa na Samantha Mewis na Rose Lavelle mawili kila mmoja, Lindsey Horan, Megan Rapinoe, Mallory Pugh na Carli Lloyd PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Legendary undefeated boxing star Terence Crawford makes stunning RETIREMENT
decision: 'Nothing else left to prove'
-
The American, a five-weight world champion, won all 42 fights of his
professional fights and cemented his place among the greats of his
generation with vi...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment