Lionel Messi akimpongeza Lautaro Martinez baada ya kuifungia bao la kwanza Argentina dakika ya 10 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Venezuela kwenye mchezo wa Robo Fainali michuano ya Copa America usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Jornalista Mario Filho, Maracana mjini Rio de Janeiro, Brazil. Bao la pili lilifungwa na Giovani Lo Celso dakika ya 74 na sasa Argentina itamenyana na Brazil katika Nusu Fainali Julai 3 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment