Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kusawazisha dakika ya 64 katika sare ya 2-2 na Valencia usiku huu kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Messi pia alifunga bao la kwanza la Barcelona kwa penalti dakika ya 39, kabla ya Valencia kusawazisha kupitia kwa Kevin Gameiro dakika ya 24 na kufunga la pili kupitia kwa Dani Parejo kwa penalti dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Two Bayern stars: the top ever-presents in world football
-
These gentlemen cannot complain about a lack of playing time. The CIES
Football Observatory recently examined the ever-present players in world
football ov...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment