Mshambuliaji kinda wa England mwenye asili ya Ghana, Callum Hudson-Odoi mwenye umri wa miaka 18 akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la tatu dakika ya 84 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Malmo FF kwenye mchezo wa hatua ya 32 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Olivier Giroud dakika ya 55 na Ross Barkley dakika ya 74 na kwa matokeo hayo Chelsea inasonga mbele kwa ushindi wa 5-1, kufuatia kushinda 2-1 kwenye mchezo wa kwanza pia nchini Sweden PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment