Mshambuliaji Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 90 ikiilaza 3-2 Schalke 04 3-2 katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa VELTINS-Arena mjini Gelsenkirchen nchini Ujerumani. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Sergio Aguero dakika ya 18 na Leroy Sane dakika ya 85, wakati ya Schalke 04 yalifungwa na Nabil Bentaleb yote kwa penalti dakika za 38 na 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Man United midfielder Paul Ince compares Matheus Cunha to club
legend after Brazilian's stellar performance in thriller 4-4 draw with
Bournemouth
-
Cunha, signed in the summer for a fee of £62.5million from Wolves, enjoyed
arguably his best performance in a United shirt on Monday night in his
side's th...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment