Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia na wachezaji wenzake wa Juventus baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Lazio kwenye mchezo wa Serie A leo Uwanja wa Allianz mjini Torino, mabao ya Miralem Pjanic dakika ya 30 na Mario Mandzukic dakika ya 75. Ronaldo ndiye aliyetoa pasi ya bao la pili, ingawa amefikisha mechi mbili tangu awasili Juventus bila kufunga bao
Dembele wins Fifa Best men's player of the year
-
Paris St-Germain and France forward Ousmane Dembele has been named the
men's player of the year at the Fifa Best awards.
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment