Mshambuliaji Msenegali, Sadio Mane akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Selhurst Park mjini London, kufuatia James Milner kufunga la kwanza kwa penalti dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie cricket star Cameron Green is SAVAGED for Ashes dismissal just hours
after making IPL history
-
Aussie all-rounder Cameron Green was sold for over $4million at the IPL
auction - but his next batting innings will have his new team nervous.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment