Kiungo Mnyarwanda wa klabu ya Simba, Haruna Niyonzima (katikati) akiwa na wachezaji wenzake wa klabu yake ya zamani, Yanga SC leo mjini Kigali, Rwanda. Wengine kulia ni Matheo Anthony na Deus Kaseke na kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu, Omar Kaata na Ibrahim Ajib. Picha hii ilipigwa baada ya mechi kati ya Yanga na wenyeji, Rayon Sport Uwanja wa Nyamirambo, ambayo pia ni klabu nyingine ya zamani ya Niyonzima.
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment