Shabiki wa Simba akiwa amebebwa na wenzake baada ya kupoteza fahamu kufuatia timu yake kufungwa 1-0 na Kagera Sugar Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam jana
Mashabiki wa Simba wakiwa wamembeba mwenzao baada ya kupoteza fahamu jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Mechi ya jana ilihudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli
Shabiki huyu aliwastaajabisha wengi juu ya kuzimia kwake
Alikuwa amelegea kabisa na chanzo cha kupoteza kwake fahamu hakikujulikana mapema
JMU at Oregon score, live updates: Follow College Football Playoff
first-round action
-
Can James Madison make it more than one-and-done as the biggest underdog of
the first round?
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment