Wachezaji wa Chelsea wakishangilia na taji la ubingwa wa Kombe la FA baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Manchester United leo, bao pekee la Eden Hazard kwa penalti dakika ya 22 akimchambua vizuri David De Gea kufuatia yeye mwenyewe kuangushwa na Phil Jones kwenye boksi. Alexis Sanchez alidhani amefunga bao la kusawazisha kipindi cha pili, lakini akaambiwa alikuwa ameotea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea put nine past Liverpool in Women's League Cup
-
Chelsea hammer Liverpool 9-1 to reach the Women's League Cup semi-finals,
while Manchester City, Manchester United and Arsenal also progress.
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment