Bondia Mmarekani, Andre Ward akiondoka huku akishangilia baada ya refa, Tony Weeks kusimamisha pambano kati yake na Sergey Kovalev dakika ya pili, sekunde ya 29 raundi ya nane mjini Mandalay Bay usiku wa jana. Hata hivyo, refa alilalamikiwa kumaliza pambano hilo la uzito wa Light Heavy haraka na kumpa ushindi wa Technical Knockout (TKO) Ward, huku Mrusi Kovalev akiwa ana uwezo wa kuendelea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stupid or valid? Did Brook's shot put Australia on the brink?
-
Harry Brook's dismissal put England on the brink of Ashes defeat but was
his reverse sweep stupid or valid?
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment