Denis Glushakov wa Urusi akipambana katikati ya mabeki wa New Zealand kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya 31 akimlazimisha Michael Boxall kujifunga katika mechi ya Kundi A michuano ya Kombe Mabara jana Uwanja wa Krestovskyi mjini St. Petersburg. Bao lingine la wenyeji, Urusi lilifungwa na Fyodor Smolov dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Could 'massive' Munyua win spark darts boom in Kenya?
-
David Munyua became an instant cult hero at Alexandra Palace on Thursday
following a shock win over Mike de Decker at the PDC World Championship.
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment