Leon Goretzka (kulia) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao mawili dakika za sita na nane katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Mexico leo kwenye mchezo wa Nusu Fainali Kombe la Mabara leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi. Mabao mengine ya mabingwa hao wa dunia yamefungwa na Timo Werner dakika ya 59 na Amin Younes dakika ya 90 na ushei, wakati la Mexico limefungwa na Marco Fabian dakika ya 89 na sasa Ujerumani itakutana na Chile katika fainali Julai 2 Uwanja wa Krestovsky mjini Saint Petersburg, Urusi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: Harry Brook makes a costly error, Australia star goes for
more than £2m as record IPL signing and worst shot of the series
-
OLIVER HOLT IN ADELAIDE: England appear to be heading towards their second
best day of the Ashes so far. Australia suffered a blow before the start of
play.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment