Timo Werner (kulia), mfungaji wa mabao mawili ya Ujerumani dakika za 66 na 81 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Cameroon leo Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi, Urusi kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara akimiliki mpira dhidi ya dhidi ya beki wa Simba Wasiofungika, Adolphe Teikeu (kushoto). Bao lingine la Ujerumani limefungwa na Kerem Demirbay dakika ya 48, wakati la Cameroon limefungwa na Vincent Aboubakar. Kwa matokeo hayo, Cameroon inatolewa kwenye mashindano, huku Ujerumani ikienda Nusu Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment