Ricardo Quaresma akishangilia na Cristiano Ronaldo aliyemsetia nafasi ya kuifungia Ureno bao la kwanza dakika ya 34 katika sare ya 2-2 na Mexico kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara usiku huu Uwanja wa Kazan Arena mjini Kazan, Urusi. Bao la pili la Ureno lilifungwa na Cedric Soares dakika ya 86, wakati mabao ya Mexico yamefungwa na Javier Hernandez 'Chicharito' dakika ya 42 na Hector Moreno dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Disgraced A-League star Ulises Davila to be sentenced for corrupt conduct
in 2026 - as Football Australia issues its own bans over spot-fixing from
three other tarnished players
-
Disgraced A-League star Ulises Davila will be sentenced for corrupt conduct
next year after bail was continued in Sydney's Downing Centre on December
19.
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment