Alexis Sanchez (kulia) akimkimbilia Arturo Vidal kumpongeza baada ya kuifungia Chile bao la kwanza dakika ya 81 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Cameroon kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara usiku huu Uwanja wa Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi. Sanchez ndiye aliyetoa krosi ya bao hilo na akaseti na la pili pia lililofungwa na Eduardo Vargas dakika ya 90 na ushei baada ya kutokea benchi dakika ya 58 kuchukua nafasi ya Edson Puch PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Drake bets $200,000 on Jake Paul to beat Anthony Joshua - with incredible
pay-out - and risks paddling him with his infamous 'curse'
-
Jake Paul doesn't need much help to make himself the unfancied option in
his Netflix mega-fight against Anthony Joshua - but Drake might have just
delivered.
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment