Jamie Vardy akiruka juu kwa furaha kushangilia baada ya kuifungia Leicester City bao la tatu kati ya mawili aliyofunga dakika za 28 na 60 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Liverpool wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa King Power. Bao lingine la Leicester lilifungwa na Danny Drinkwater dakika ya 39, wakati la Liverpool lilifungwa na Philippe Coutinho dakika ya 68. Ushindi huo unakuja siku nne baada ya kufukuzwa kocha Claudio Ranieri PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Russia is a threat to the UK and our sons and daughters must be ready to
fight, armed forces chief warns
-
Chief of defence staff Richard Knighton warned the situation is ‘more
dangerous than I have known during my career’
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment