Cesc Fabregas akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 19 katika ushindi wa 3- dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 72 na Diego Costa dakika ya 84, wakati la Swansea lilifungwa na Fernando Llorente dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: Ollie Pope plumbs new depths in England's dismal batting
response, more Snicko embarrassment and Nathan Lyon overtakes Aussie great
-
OLIVER HOLT IN ADELAIDE: England's hopes of regaining the Ashes are hanging
by the most frayed of threads after another dismal performance.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment