Wachezaji wa Bayern Munich wakimpongeza mwenzao, Robert Lewandowski wa tatu baada ya kuwafungia mabao yote katika ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya PSV ya Uholanzi kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la PSV lilifungwa na Santiago Arias na kwa ushindi huo Bayern inakwenda 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2 charged with 2nd-degree murder in St. Patrick's Day slaying of Mexican
citizen in North End
-
Officers were called to Pritchard Avenue, between Charles and Salter
streets, where they found Diego Moscoza, 28, lying dead on the ground on
March 17, acc...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment