Muargentina Lionel Messi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao yote dakika za 24 na 55 kwa penalti katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji Celtic, Uwanja wa Celtic Park mjini Glasgow, Scotland katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya. Barca imesonga mbele pamoja na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment